Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha Urithi wa Utamaduni Tanzania (TCCH) kilichopo katika jengo la Qaulity Center leo jijini Dar es Salaam.Kituo hicho kinamilikiwa na Kampuni ya Quality Group Limited.