Showing posts with label Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TAKUKURU. Show all posts
Showing posts with label Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TAKUKURU. Show all posts

Tuesday, January 26, 2016

WATUMISHI WA UMMA WATANGAZIWA KIAMA KWA WALE WATAKAOKIUKA TARATIBU NA SHERIA NA KUPOKEA RUSHWA.

  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola akizungumza na wanahabari.
  Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini jijini Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu mikakati mbalimbali ya taasisi hiyo ya kupambana na rushwa nchini hasa kwa watendaji wa Umma na kesi zinazochunguzwa ili watuhumiwa wafikishwe mahakama wakati wowote baada ya kukamilika kwa uchunguzi wake.