Showing posts with label Julius Kalanga. Show all posts
Showing posts with label Julius Kalanga. Show all posts

Friday, May 27, 2016

WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MGOMBEA WA URAIS KUPITIA UKAWA EDWARD LOWASSA AFAFANUA JUU YA SHAMBA LA MAKUYUNI:


Siku chache  baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kulieleza Bunge kuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alijimilikisha shamba la Makuyuni Wilayani Monduli mkoani Arusha, Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga amejitokeza kutoa ufafanuzi unaomsafisha.