Showing posts with label Jordan Rugimbana. Show all posts
Showing posts with label Jordan Rugimbana. Show all posts

Wednesday, December 07, 2016

MKUU WA NKOA WA DODOMA JORDAN RUGIMBA KONGAMANO LA WATU WENYE ULEMAVU

December  7 2016 mkuu wa mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana alikuwa ni mgeni rasmi katika kongamano la watu wenye ulemavu nchini ambapo katika hotuba yake aliwataka walemavu kutumia fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa ili kujikwamua kiuchumi huku akiahidi kuwasaidia mahitaji mbalimbali zikiwemo ofisi za kudumu.