Showing posts with label Godfrey Mjelwa. Show all posts
Showing posts with label Godfrey Mjelwa. Show all posts

Saturday, May 14, 2016

MWANAUME AHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KWA KUMUOA BINTI YAKE WA KUMZAA:

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, ilimhukumu kifungo cha miaka 30, Godfrey Mjelwa (48), baada ya kupatikana na hatia ya kuishi kinyumba na binti yake wa kumzaa.

Hakimu Mkazi katika mahakama hiyo, Mwajuma Lukindo alisema ushahidi wa pande zote ulithibitisha kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo la kuishi chumba kimoja na binti yake, kama mke na mume.