Showing posts with label Ansigar Chilemba. Show all posts
Showing posts with label Ansigar Chilemba. Show all posts

Monday, May 30, 2016

Katibu Mkuu Mambo Ya Ndani Ya Nchi Afanya Ziara NIDA........, Atoa Habari Njema Kwa Watumishi 597 Walioachishwa Kazi

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira amesema fedha za kuwalipa watumishi 597 waliositishiwa mikataba yao katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) zipo na watalipwa hivi karibuni.