Showing posts with label Alphonce Nyinzi. Show all posts
Showing posts with label Alphonce Nyinzi. Show all posts

Monday, May 23, 2016

MWENYEKITI WA MTAA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MWANZA.



































MWENYEKITI wa Mtaa wa Bulale wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Alphonce  Nyinzi  (48) ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika wakati akielekea nyumbani kwake.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa  Polisi Mkoa wa Mwanza, SACP Ahmed Msangi amesema kuwa tukio hilo lilitokea Aprili 22 mwaka  huu majira ya  saa 2 usiku.